Thursday Quotes

Quotes tagged as "thursday" Showing 1-10 of 10
Israelmore Ayivor
“Compassion is a lifetime business. You can't say something like, "I will have compassion on Monday, Thursdays and Fridays only. But for the rest, I will be cruel". That is hypocrisy.”
Israelmore Ayivor

“Honestly, I never really understood the glorification of Fridays & weekends.

I don't want to build a life and career, where I spent five days a week waiting for the weekend. No!

I want to enjoy my life, and don't wish any weekday away. I want each day to matter to me, in some way, even if it's a small tiny way.

I love my life. Everyday. That's the spirit we should convey all around us.”
Akilnathan Logeswaran

Chitra Banerjee Divakaruni
“Chili, spice of red Thursday, which is the day of reckoning. Day which invites us to pick up the sack of our existence and shake it inside out. Day of suicide, day of murder.”
Chitra Banerjee Divakaruni, The Mistress of Spices

Nicci French
“Thursday is perhaps the worst day of the week. It's nothing in itself; it just reminds you that the week has been going on too long.”
Nicci French, Thursday's Child

Clarice Lispector
“But now I want to say things that comfort me and that are a little free. For example: Thursdat is a day transparent as an insect's wing in the light. Just as Monday is a compact day. Ultimately, far beyond thought, I live from these ideas, if ideas is what they are. They are sensations that transform into ideas because I must use words. Even just using them mentally. The primary thought thinks with words.”
Clarice Lispector

Percival Everett
“People should know, understand that not all Thursdays are the same.”
Percival Everett, The Trees

Enock Maregesi
“Kamishna … karibu," alisema Nafi huku akisimama na kutupa gazeti mezani na kuchukua karatasi ya faksi, iliyotumwa.
"Ahsante. Kuna nini …"
"Kamishna, imekuja faksi kutoka Oslo kama nilivyokueleza – katika simu. Inakutaka haraka, kesho, lazima kesho, kuwahi kikao Alhamisi mjini Copenhagen," alisema Nafi huku akimpa kamishna karatasi ya faksi.
"Mjini Copenhagen!" alisema kamishna kwa kutoamini.
"Ndiyo, kamishna … Sidhani kama kuna jambo la hatari lakini."
"Nafi, nini kimetokea!"
"Kamishna … sijui. Kwa kweli sijui. Ilipofika, hii faksi, kitu cha kwanza niliongea na watu wa WIS kupata uthibitisho wao. Nao hawajui. Huenda ni mauaji ya jana ya Meksiko. Hii ni siri kubwa ya tume kamishna, na ndiyo maana Oslo wakaingilia kati."
"Ndiyo. Kila mtu ameyasikia mauaji ya Meksiko. Ni mabaya. Kinachonishangaza ni kwamba, jana niliongea na makamu … kuhusu mabadiliko ya katiba ya WODEA. Hakunambia chochote kuhusu mkutano wa kesho!"
"Kamishna, nakusihi kuwa makini. Dalili zinaonyesha hali si nzuri hata kidogo. Hawa ni wadhalimu tu … wa madawa ya kulevya."
"Vyema!" alijibu kamishna kwa jeuri na hasira. Halafu akaendelea, "Kuna cha ziada?"
"Ijumaa, kama tulivyoongea wiki iliyopita, nasafiri kwenda Afrika Kusini."
"Kikao kinafanyika Alhamisi, Nafi, huwezi kusafiri Ijumaa …"
"Binti yangu atafukuzwa shule, kam …"
"Nafi, ongea na chuo … wambie umepata dharura utaondoka Jumatatu; utawaona Jumanne … Fuata maadili ya kazi tafadhali. Safari yako si muhimu hivyo kulinganisha na tume!"
"Sawa! Profesa. Niwie radhi, nimekuelewa, samahani sana. Samahani sana.”
Enock Maregesi, Kolonia Santita

Enock Maregesi
“Meja Jenerali U Nanda, 60, Kiongozi wa Kanda ya Asia-Australia ya Tume ya Dunia ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya, alizaliwa Jumamosi ya tarehe 19/03/1932 kandokando ya mto huko Maubin nchini Bama. Yeye na familia yake ni waumini wa dini ya Ubuda. Mke wake, Daw Aung Phyu, ana miaka 57. Alizaliwa Jumapili ya tarehe 20/10/1935. Nanda na Aung Phyu wana watoto watatu. Ko Mahn Thiri (wa kiume na wa kwanza kuzaliwa) ana miaka 37. Alizaliwa Alhamisi ya tarehe 08/12/1955. Yeye na familia yake wanakaa nchini Tailandi. Ma Nang Nyi ni mtoto wa pili wa familia ya Nanda na Aung Phyu. Alikufa kwa madawa ya kulevya Jumamosi ya tarehe 12/05/1980 akiwa na miaka 23. Alizaliwa Jumamosi ya tarehe 06/04/1957. Miaka miwili baadaye mpenzi wake wa kiume, Ko San Pe, alikufa kwa madawa ya kulevya pia Jumatano ya tarehe 21/07/1982 akiwa na miaka 25. Alizaliwa Jumanne ya tarehe 29/01/1957. Ma Thida Wai Aung ni wa mwisho kuzaliwa. Ana miaka 34. Alizaliwa Jumatano ya tarehe 23/07/1958. Anakaa Rangoon na mume wake wa miaka sita na watoto wawili, wa kike na wa kiume. Saw Saya (Mkurugenzi wa Sekretarieti ya Kanda ya Asia-Australia ya Tume ya Dunia ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya, kutoka katika kabila la Karen) ndiye aliyempa taarifa U Nanda za kikao cha dharura cha Tume ya Dunia. Ana miaka 54. Alizaliwa Jumanne ya tarehe 01/03/1938.”
Enock Maregesi

Avijeet Das
“The rain visited us last night, making the soil wet with desire. Today the breeze drifted around the trees, serenading the flowers and the breeze. And a few minutes ago, I drank a pint of Whisky to add a spin to my Thursday night!”
Avijeet Das

Anthony T. Hincks
“Wednesday's dreams are only Thursday's memories.”
Anthony T. Hincks