Nenda kwa yaliyomo

WikiLeaks

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Julian Assange,muanzilishi wa Wikileaks

WikiLeaks ni shirika la kimataifa lisilo la kiserikali linalochapisha habari za siri zinazofichuliwa na watu wasiojitambulisha (kwa Kiingereza: news leaks[1] and classified media provided by anonymous sources[2]).

Tovuti yake, iliyofunguliwa na Sunshine Press mwaka 2006 huko Iceland [3], ina nyaraka milioni 10.[4]

Mwanzilishi wake ni Julian Assange. Toka mwaka 2018, Kristinn Hrafnsson ni mhariri wake mkuu.[5]

Marejeo[hariri | hariri chanzo]

  1. Karhula, Päivikki (5 Oktoba 2012). "What is the effect of WikiLeaks for Freedom of Information?". International Federation of Library Associations and Institutions. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 11 Oktoba 2012. Iliwekwa mnamo 11 Oktoba 2012. {{cite web}}: Unknown parameter |deadurl= ignored (|url-status= suggested) (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. Editors, The. "WikiLeaks", The New York Times, 16 August 2012. 
  3. Chatriwala, Omar (5 Aprili 2010). "WikiLeaks vs the Pentagon". Al Jazeera. Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 9 Februari 2014. Iliwekwa mnamo 27 Januari 2011. {{cite web}}: Unknown parameter |deadurl= ignored (|url-status= suggested) (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
  4. "WikiLeaks Ten Year Anniversary". WikiLeaks. Iliwekwa mnamo 23 Januari 2017.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  5. McGreal, Chris. "Wikileaks reveals video showing US air crew shooting down Iraqi civilians", 5 April 2010. Archived from the original on 26 June 2011. 

Viungo vya nje[hariri | hariri chanzo]