Nenda kwa yaliyomo

Askofu wa jimbo

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Pitio kulingana na tarehe 14:01, 11 Machi 2013 na Addbot (majadiliano | michango) (Bot: Migrating 6 interwiki links, now provided by Wikidata on d:q1144278 (translate me))
(tofauti) ← Pitio lililotangulia | Toleo la sasa (tofauti) | Pitio linalofuata → (tofauti)

Askofu wa jimbo ni askofu ambayo anachunga kwa mamlaka kamili jimbo fulani. Kwa msingi huo anatofautiana na askofu mwandamizi, askofu msaidizi n.k.

Katika Kanisa Katoliki[1]ni kazi yake kufundisha, kutakasa na kuongoza waamini wote wa jimbo lake [2]akisaidiwa na mapadri na mashemasi.[3]

Footnotes

[hariri | hariri chanzo]
  1. "Canon 376". 1983 Code of Canon Law. Libreria Editrice Vaticana. Iliwekwa mnamo 27 Julai 2009. {{cite web}}: Unknown parameter |dateformat= ignored (help)
  2. "Canon 369". 1983 Code of Canon Law. Libreria Editrice Vaticana. Iliwekwa mnamo 27 Julai 2009. {{cite web}}: Unknown parameter |dateformat= ignored (help)
  3. "Canon 381". 1983 Code of Canon Law. Libreria Editrice Vaticana. Iliwekwa mnamo 27 Julai 2009. {{cite web}}: Unknown parameter |dateformat= ignored (help)