Nenda kwa yaliyomo

Dhuluma

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
The printable version is no longer supported and may have rendering errors. Please update your browser bookmarks and please use the default browser print function instead.

Dhuluma ya kidini, ya kisiasa, ya kikabila n.k. ni kati ya makosa ya jinai dhidi ya utu yanayolaaniwa kimataifa, k.mf. katika Nuremberg Principles.

Mtu anayetenda hivyo anaitwa dhalimu, kama yeyote anayewakosea haki wengine.